Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Rhoda James mwenye umri wa miaka 25 mkazi wa kijiji cha Turugeti Kata ya Bumera Wilayani Tarime Mkoani Mara amefukukuzwa nyumbani kwake akiwa na mtoto mdogo wa siku sita pamoja na watoto wake wanne.
Add a commentRead more: AFUKUZWA NYUMBANI KWAKE AKIWA NA MTOTO WA SIKU 06.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametoka katika gereza la Segerea leo jioni Ijumaa Machi 13, 2020 baada ya kukamilisha kulipa faini ya Shilingi Milioni 70.
Add a commentMwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amelipa faini ya Shilingi milioni 70,000,000 na muda wowote kuanzia leo Ijumaa Machi 13, 2020 anatarajiwa kutoka katika gereza la Segerea.
Add a commentChama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Dar es Salaam Kimemsaidia mwanachama wake mpya faini ya shilingi milioni 30 Dkt. Vicent Mashinji ambaye alikutwa na hatia kwenye makossa kadhaa aliyomewa na katika mahakama ya hakimu mkazi hapo jana Machi 10,2020.
Add a commentRead more: CCM YAKAMILISHA FAINI YA MILIONI 30 YA DOKTA MASHINJI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ametoa tahadhari kuhusu ugonjwa unaotokana na virusi vya homa ya corona, akiwataka watanzania kuwa makini juu ya ugonjwa huu kwani janga la kimataifa ambapo mpaka sasa umegharimu maisha ya watu wengi duniani kutoka nchi tofauti.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI ATOA TAHADHARI KUHUSU VIRUSI VYA CORONA.
Waziri wa afya na mbunge wa chama cha Conservative nchini Uingereza Nadine Dorries amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona.
Add a commentRead more: WAZIRI WA AFYA UINGEREZA AKUTWA NA MAAMBUKIZI YA CORONA.
Read more: RAIS MAGUFULI AMSAIDIA MCHUNGAJI MSIGWA KULIPA FAINI ILIYOKUWA INAMKABILI.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemhukumu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake kulipa faini ya Shilingi Milioni 350 ama kwenda jela miezi 5 baada ya kupatikana na hatia kwenye makosa 12 likiwemo la kufanya maandamano.
Add a commentRead more: KITENDAWILI CHA MBOWE NA WENZAKE CHATEGULIWA KISUTU LEO.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.