Baraza la seneti nchini Marekani limemuondolea mashitaka rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump, ya kuchochea shambulio baya dhidi ya jengo la bunge.
Add a commentWajumbe wa nchi wanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wanatarajia kukutana mjini New York baadaye leo kumchagua mwendesha mashitaka mpya wa mahakama hiyo.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden ametumia mazungumzo yake ya kwanza na mwezake wa China Xi Jinping kuelezea wasiwasi wa Washington juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye jimbo la Xinjiang na tabia ya mabavu inayotumiwa na China katika shughuli za uchumi.
Add a commentKiongozi wa upinzani nchini Ethiopia Jawar Mohammed, sambamba na watu wengine 19, wamekuwa kwenye mgomo wa kutokula kwa zaidi ya siku 13, kwa mujibu wa mawakili wao.
Add a commentBaraza la Seneti la Marekani limefikia uamuzi kuwa kesi dhidi ya rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump sio kinyume cha katiba.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.