Star Tv

Vifo vya waandamanaji wawili wanaopinga mapinduzi nchini Myanmar, leo hii vimezusha lawama mpya kutoka Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala wa kijeshi.

Tamko la umoja huo linatolewa wakati waombolezaji wanajiandaa na mazishi ya binti, ambaye amekuwa alama ya kuupinga utawala wa kijeshi.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amelaani matumizi makubwa ya nguvu katika makabiliano yaliyotokea jana Jumamosi ambayo wahudumu wa kitengo cha dharura wanasema mtu mmoja amekufa na wengine kadhaa wamejeruhiwa.

Katika siku za karibuni, mamlaka za Myanmar zimeongeza mbinu kuyakabili maandamano ya umma yanayoshinikiza kurudishwa madarakani kwa kiongozi wa kiraia aliyeondolewa madarakani Aung San Suu Kyi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.