Mawaziri wa fedha kutoka kundi la mataifa 20 yaliyostawi na yanayoinukia kiuchumi kote ulimwenguni G20, wameidhinisha mkataba wa kihistoria wa kubadilisha mfumo wa kuyatoza ushuru mashirika ya kimataifa na kuzihimza nchi ambazo hazikushiriki kujiunga katika mkataba huo.
Add a commentZaidi ya wanajeshi 1,000 wa Afghanistan wamekimbilia nchi jirani ya Tajikistan baada ya kukabiliana na wanamgambo wa Taliban.
Add a commentPasi maalumu ya Umoja wa Ulaya, itakayoanza kutumika tarehe 1 mwezi Julai kurahisisha safari kwenda Ulaya kwa wale waliopata chanjo itaanza kufanya kazi lakini ikiwa na sharti moja muhimu.
Add a commentJeshi la Syria limedaiwa kuwaua watu nane kutokana na mashambulizi ya mizinga yaliyokuwa yakifanywa na jeshi hilo katika ngome ya waasi wa Idlib.
Add a commentViongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wamekataa shinikizo la Ujerumani na Ufaransa, la kuanza tena mazungumzo na rais wa Urusi Vladimir Putin.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.