Star Tv

Mamlaka ya Afghanistan imethibitisha kwamba mwanasoka kijana alifariki dunia baada ya kujaribu kuondoka nchini humo kwa kudandia ndege ya jeshi la Marekani na kuanguka uwanja wa ndege wa Kabul.

Add a comment

Watu wapatao 1,941 wamekufa kutokana na tetemeko lililopiga Haiti siku ya Jumamosi.

Add a comment

Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani ameikimbia nchi yake leo Jumapili Agosti 15 baada ya wanamgambo wa Taliban kuuzingira mji mkuu wa Kabul.

Add a comment

Mwandishi na Mpiga picha wa gazeti la Times Marcus Yam, amekuwa akisimulia tukio aliloshuhudia karibu na uwanja wa ndege wa Kabul siku ya Jumanne.

Add a comment

Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wanazingatia kutoa tamko la pamoja litakalohimiza kukomeshwa mara moja kwa mashambulizi ya kundi la Taliban nchini Afghanistan.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.