Mamlaka ya Afghanistan imethibitisha kwamba mwanasoka kijana alifariki dunia baada ya kujaribu kuondoka nchini humo kwa kudandia ndege ya jeshi la Marekani na kuanguka uwanja wa ndege wa Kabul.
Add a commentWatu wapatao 1,941 wamekufa kutokana na tetemeko lililopiga Haiti siku ya Jumamosi.
Add a commentRais wa Afghanistan Ashraf Ghani ameikimbia nchi yake leo Jumapili Agosti 15 baada ya wanamgambo wa Taliban kuuzingira mji mkuu wa Kabul.
Add a commentMwandishi na Mpiga picha wa gazeti la Times Marcus Yam, amekuwa akisimulia tukio aliloshuhudia karibu na uwanja wa ndege wa Kabul siku ya Jumanne.
Add a commentWajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wanazingatia kutoa tamko la pamoja litakalohimiza kukomeshwa mara moja kwa mashambulizi ya kundi la Taliban nchini Afghanistan.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.