Star Tv

Somalia imetangaza kuwa inarejesha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani ya Kenya baada ya kusitisha mahusiano hayo mwezi Desemba mwaka jana.

Mahusiano hayo ya kidiplomasia baina ya nchi hizo mbili yalikatishwa pale Somalia ilipoishutumu Kenya kuwa iliingilia siasa zao za ndani.

Naibu waziri wa habari wa Somalia Abdirahman Yusuf amesema sasa mahusiano ya kati ya nchi hizo mbili yamefufuliwa akiongeza Qatar ndiyo iliyoasaidia mchakato wa upatanisho.

Serikali ya Kenya haijatoa tamko kuhusiana na tangazo hilo la Somalia ila Ikulu ya Rais ya Nairobi iliandika katika ukurasa wa Twitter leo kuwa Rais Uhuru Kenyatta amekutana na Mfalme wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani na kupokea kile kilichotajwa ujumbe maalum.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.