Star Tv

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amethibitisha kifo cha mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 hapa nchini, ambaye ni Mtanzania kilichotokea alfajiri ya leo Machi 31,2020 katika kituo cha matibabu ya wagonjwa wa COVID-19 kilichopo Mlonganzila jijini Dar-es-Salaam.

Waziri Amesema marehemu ni Mtanzania, mwanaume mwenye umri wa miaka 49 ambaye mbali na ugonjwa huo alikuwa akisumbuliwa pia na maradhi mengine.

Aidha, taarifa ya Waziri Ummy imeeleza kuwa hadi kufikia leo asubuhi Machi 31, 2020 jumla ya waliopata maambukizi ya COVID-19 nchini ni 19, aliyepona ni mtu mmoja na kifo kimoja ambacho kimetokea mapema alfajiri ya leo.

                                     Mwisho.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.