Star Tv

Mbunge wa jimbo la Sumve maarufu kama Seneta kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Richard Mganga Ndassa amefariki dunia leo Aprili 29, 2020.

Kifo cha Mbunge Ndassa kimetangazwa na Spika wa Bunge Mhe.Job Ndugai ambapo mbunge huyo amefikwa na umauti leo jijini Dodoma alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mbunge Ndassa alikuwa bungeni kwa siku nyingi ambapo amekuwa bungeni kwa miaka 25, ambapo aliliongoza jimbo la Sumve lililoko mkoani Mwanza kwa vipindi vitano ambavyo ni (1995/2000, 2000/2005, 2005/2010, 2010/2015,  na 2015/2020).

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.