Maafisa wanne wa polisi wa Kenya wameuawa katika shambulizi la kuvizia katika eneo la pwani linalopakana na Somalia.
Add a commentKiongozi wa Kazakhstan anayeiongoza nchi hiyo kimabnavu anasema ameidhinisha vikosi vya usalama "kufyatua risasi bila onyo" huku kukiwa na msako mkali dhidi ya maandamano dhidi ya serikali.
Add a commentVikwazo vikali vya kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona vitaanza kutumika kuanzia leo Jumanne katika majimbo kadhaa ya Ujerumani katika wakati inakabiliwa na wimbi la tano la maambukizo ya ugonjwa wa Covid-19.
Add a commentRais Joe Biden wa Marekani atafanya mazungumzo kwa njia ya simu leo na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin katika juhudi za kutuliza mvutano kuhusu hatua ya Urusi kupeleka vikosi vyake kwenye mpaka na Ukraine.
Add a commentViongozi wa Umoja wa Ulaya wamerudia ahadi yao ya kushirikiana na nchi washirika za Ulaya Mashariki, wakati ambapo kuna hofu kwamba huenda Urusi ikaivamia kijeshi Ukraine na wameionya Urusi dhidi ya kufanya hivyo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.