Star Tv

Takriban watu 22 wafariki kufikia sasa baada ya matetemeko ya ardhi ya mfululizo kukumba magharibi mwa Afghanistan siku ya Jumatatu, maafisa walisema.

Add a comment

Mawimbi ya Tsunami yaliyosababishwa na mlipuko mkubwa wa volkano chini ya maji yameikumba nchi ya Pasifiki ya Tonga.

Add a comment

Mahakama nchini Myanmar imemhukumu kiongozi aliyeondolewa madarakani Aung San Suu Kyi kifungo cha miaka minne zaidi, katika mfululizo wa kesi za hivi karibuni alizopatikana nazo.

Add a comment

Mahakama ya India imemuondolea mashtaka askofu mmoja aliyeshtakiwa kwa kumbaka mtawa mmoja kati ya mwaka wa 2014 na 2016 katika kesi ambayo ilishtua jumuiya kongwe za Kikristo nchini humo.

Add a comment

Takriban watu 164 wamekufa nchini Kazakhstan wakati wa maandamano ya kupinga serikali, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari zilizowanukuu maafisa wa afya.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.