Star Tv

Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limepinga vikali sheria mpya iliyopitishwa na bunge la Denmark ambayo itairuhusu nchi hiyo kushughulikia madai ya wakimbizi wanaoomba hifadhi nje ya bara la Ulaya.

Filippo Grandi, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Wakimbizi, amesema katika taarifa ya jana usiku kwamba ikiwa sheria hiyo itaanza kutumika, basi itapelekea wakimbizi wanaoomba hifadhi kuhamishwa kwa nguvu, na Denmark itaweza kukwepa jukumu lake la kuwapa hifadhi wakimbizi wanaoishi katika mazingira magumu. Denmark ni taifa lenye misimamo mikali katika suala la uhamiaji, na inakusudia kupokea tu wakimbizi chini ya mfumo wa Umoja wa Mataifa wa kugawana wakimbizi kati ya mataifa ya Ulaya.

 

CHANZO: IDHAA YA KISWAHILI (DW).

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.