Baraza la kijeshi linalotawala Sudan limekiri kwamba vikosi vya usalama vilikiuka sheria wakati wa kuwatawanya waandamanaji nje ya makao makuu ya jeshi katika mji mkuu wa Khartoum wiki iliyopita.
Add a commentMakundi ya upinzani nchini Sudan leo yameanza kampeini ya kitaifa ya kutotii sheria baada ya viongozi wake wawili kuripotiwa kukamatwa. Kupitia ujumbe uliotumwa katika mtandao wa Twitter na muungano wa wataalam wa Sudan-SPA- kundi kuu katika upinzani, mgomo huo ni njia ya amani ya upinzani.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewasili katika Jiji la Harare nchini Zimbabwe ambapo anafanya Ziara Rasmi ya Kitaifa ya siku 2 kwa mwaliko wa Rais wa Zimbabwe, Mhe. Emmerson Mnangagwa.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza Mawaziri wa Tanzania kuitisha kikao cha Kamati ya Pamoja ya Tanzania na Namibia (Joint Permanent Commission – JPC) ndani ya kipindi cha miezi 2 ili kujadiliana juu ya fursa mbalimbali za ushirikiano wenye manufaa kwa nchi hizo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.