Star Tv

Watawala wa kijeshi wa Sudan na viongozi wa vuguvugu la maandamano wamekubaliana juu ya kuundwa kwa utawala wa mpito wa miaka mitatu, ambao utakabidhi madaraka kamili kwa raia.

Add a comment

Watawala wa kijeshi wa Sudan na viongozi wa maandamano wameanza tena leo mazungumzo juu ya kukabidhi madaraka kwa serikali ya kiraia baada ya siku kadhaa za mkwamo katika majadiliano. Viongozi wa maandamano Omar al-Digeir na Satea al-Haj ni miongoni mwa wanaohudhuria mazungumzo hayo kwa niaba ya vuguvugu la Allance for Freedom and Change.

Add a comment

Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na ajali ya boti katika Ziwa Kivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imefikia 40, kufuatia kupatikana kwa maiti nyengine 27 jana Jumamosi.

Add a comment

Umoja wa Mataifa umeionya Msumbiji kwamba huenda mvua kubwa na upepo mkali unaovuma vikasababisha mafuriko katika siku zijazo wakati ambapo kimbunga Kenneth kinasonga taratibu katika maeneo ya ndani ya nchi hiyo.

Add a comment

Raia wa Misri wanapiga kura ya maoni leo inayolenga kumpa nguvu zaidi Rais Abdel Fattah al-Sisi.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.