Star Tv

Kulingana na matokeo rasmi ya awali yaliyotangazwa usiku wa Jumapili kuamkia leo Jumatatu na Tume huru ya taifa ya uchaguzi, Faure Essozimna Gnassingbé amechaguliwa tena kwenye muhula wa nne kama rais wa Togo.

Add a comment

Serikali ya umoja wa kitaifa nchini Libya (GNA) yenye makao yake makuu Tripoli, inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa, imetangaza usiku wa tarehe 18 kuamkia 19 Februari kwamba imesitisha ushiriki wake katika mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea huko Geneva.

Add a comment

Uchaguzi wa Bunge nchini Ethiopia ambao awali ulikuwa umepangwa kufanyika baina ya mwezi Mei na Juni, sasa utafanyika mwezi Agosti mwaka huu.

Add a comment

Cyril Ramaphosa rais wa Afrika Kusini amekabidhiwa kijiti cha uongozi wa Umoja wa Afrika kama rais wa umoja wa nchi za Afrika kwa kipindi cha mwaka mmoja kutoka kwa rais wa Misri Abdel Fattah al sisi, katika mkutano wa Umoja huo uliofanyika  Addis Ababa nchini Ethiopia.

Add a comment

 Watoto 26 wamekufa katika ajali ya moto uliounguza shule moja ya Kiislamu karibu na mji mkuu wa Liberia, Monrovia.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.