Star Tv

Baraza la kijeshi linaloongoza nchini Sudan limesema leo kwamba baraza hilo limeapa kwamba serikali mpya itakuwa ya kiraia.

Add a comment

Maalfu ya watu wameshiriki katika maandamano makubwa kabisa, kuwahi kufanyika hadi sasa nchini Sudan ya kumtaka Rais wa nchi hiyo Omar al-Bashir ang’atuke baada ya kutawala kwa muda wa takriban miaka 30.

Add a comment

Serikali ya Msumbiji imesema visa vilivyothibitishwa vya maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu katika mji wa Beira vimeongezeka maradufu na kufikia wagonjwa 271 katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.

Add a comment

Bunge la Algeria litamchagua Rais mpya wa mpito wiki ijayo. Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali -APS- zoezi hilo litafanyikakutokana na rais mkongwe Abdelaziz Bouteflika kujiuzulu kufuatia maandamano ya umma dhidi yake.

Add a comment

Msumbiji: Misaada yaanza kuwafikia waliokumbwa na maafa ya kimbunga Idai

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.