Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limeikosoa mahakama ya kijeshi nchini Cameroon kwa kumhukumu kiongozi mmoja wa upinzani miaka 25 jela kwa makosa ya kuchochea uasi.
Add a commentUchaguzi wa marudio ambao ulipangiwa kufanyika leo nchini Kenya katika maeneo ambayo shughuli hiyo haikufanyika Alhamisi utafanyika katika vituo vya kupigia kura vitano pekee.
Add a commentNaibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, ameitaka Bodi ya mfuko wa Barabara (RfB) kutumia vifungu [ ... ]
Kenya inatarajia kupokea dozi milioni 24 za chanjo ya ugonjwa corona iliyotengenezwa na kapuni ya Astrazeneca na chuo ki [ ... ]
Rais mteule wa Marekani Joe Biden aliwasili Washington katika mkesha wa sherehe ya kuapishwa kwake, wakati mtangulizi wa [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.