Muamko wa Jamii katika uchangiaji wa damu salama umezidi kukua hali ambayo imesaidia kuokoa maisha ya Wagonjwa wenye uhitaji wa Damu hasa wakinamama wajawaziito na Watoto chini ya umri wa miaka 5 Mkoani Geita, ambapo ukiangalia mwaka 2018 damu iliyokusanywa ni chupa 12,393 sawa na asilimia 62 ukilinganisha mwaka 2017 chupa 5991 sawa na asilimia 34.
Add a commentRead more: Uchangiaji wa damu waokoa maisha ya wajawazito na watoto, Geita
Kufuatia migogoro kushamiri kati ya wachimbaji wadogo na uongozi wa kitengo cha ukaguzi na usalama wa mgodi wa Ikuzi wilayani Bukombe ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo Ndugu, Said Nkumba alitoa siku tatu kuhakikisha Bodi ya ushirika inamuondoa Inspekta mkuu ndugu, Said Manumbu anayelalamikiwa kwa Rushwa ,Bodi ya Ushirika imetengua uongozi wote na kuchangua viongozi wapya kutekeleza Agizo la Mkuu wa Wilaya.
Add a commentRead more: MGOGORO Mgodi wa Ikuzi, Bod yatekeleza agizo la DC Nkumba
MKUU wa wilaya ya Tarime Mkoani Mara Charles Kabeho ameongoza zoezi la kuteketeza zao haramu la bangi kavu yenye uzito wa kg 2212 kwa moto iliyo kamatwa na polisi Tarime Rorya katika kipindi cha miezi saba wakati wa oparesheni tokomeza madawa ya kulevya inayo endelea katika mkoa huo.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Adolf Hyasinth Mohondela Ndunguru kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango anayeshughulikia Sera.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 21 Machi, 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Mhe. Sheikh Mohammed bin Abdulrahman J.A. Al Thani, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Add a commentHatimaye Wananchi wa Kijiji cha nyakafuro wakubali kuupokea Mwili wa Marehemu Jackson Charles anayedaiwa kusababishiwa kifo kutokana na kipigo cha polisi baada ya Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga kuingilia kati mgogoro huo na kuwaahidi kufanya uchunguzi wa jambo hilo na kama kuna makosa hatua za kisheria zitachukuliwa.
Add a commentRead more: Hatimaye wananchi wakubali kuzika mwili wa Marehemu Jackson Charles
Migogoro ya Adhi katika baadhi ya maeneo hapa nchini imendelea kushamiri licha ya jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa Amani ambapo wananchi wa wa Kata ya Majengo Wilayani Arumeru Mkoani Arusha wamemwomba Waziri wa Ardhi kuingilia kati Mgogoro wa Mipaka unaoendelea baina ya Kata Mbili za Majengo na Makiba zilizopo kwenye Tarafa ya Mbuguni.
Add a commentTanzaniani ni miongozi mwa nchi 12 za Bara la Afrika zilizoko Kusini mwa Jangwa la Sahara zinazotekeleza mradi wa LDFS lakini bado zinakabiliwa na uharibifu wa Ardhi ,uwepo wa nusu jangwa, ikolojia iliyobaribika na uzalishaji duni wa chakula kutokana na uharibifu wa mazingara unaosababishwa na shughuli za kibinadamu ikiwemo uchomaji wa mkaa na kuharibu vyanzo vya maji.
Add a comment
Idara ya uhamiaji mkoani Mara imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 196 toka katika nchi za Afrika ya Kati wakivushwa na kuingizwa nchini kinyume cha sheria na wafanyabiashara wanaofanya biashara za binaadamu waliopo katika mpaka wa Sirali nchini Tanzania na Isibania Nchini Kenya.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.