Star Tv

Hatimaye Wananchi wa Kijiji cha nyakafuro wakubali kuupokea Mwili wa Marehemu Jackson Charles anayedaiwa kusababishiwa kifo kutokana na kipigo cha polisi  baada ya Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga kuingilia kati mgogoro huo na kuwaahidi kufanya uchunguzi wa jambo hilo na kama kuna makosa hatua za kisheria zitachukuliwa.

Machi 24 nido alifariki Marehemu Jackson na Wananchi wakagoma kuzika ambapo mwili ulihifadhiwa Hospitali teule ya Mkoa wa Geita.

 

Wanakijiji hawa wanaamini kipigo ndio kimesababisha kifo lakini taarifa ya Polisi imeeleza kuwa arehemu alikua na kifafa na Malaria.

Wananchi wanabainisha kuwa ushirikiano wa polisi na Wananchi haupo na kutaka polisi waliokuwepo kubadilishwa.

Wananchi wanaridhia kuzika ambapo Mkuu wa Wilaya ya Geita josephat Maganga ameagiza  uongozi wa Wilaya kutoa ardhi ambapo Serikali ya kijiji imeridhai kwa hilo kwani familia haina eneo na walikua wamepanga tu. 

Siku mbili za uchunguzi zimetolewa na ikibainika  ukiukwaji umefanyika hatua stahiki zitachukuliwa baada ya kujiridhisha pa kuwa na mashaka.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.