Star Tv
 
Aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Uhusiano wa Umma, wa Chama
cha Wananchi CUF Mbarara Maharagande amezungumzia mali za chama hicho na kiasi ambacho kimeshatumika.
Akizungumza na Starv TV Maharagande amesema wameacha mali za zaidi ya bilioni tatu huku ofisi nyingi za chama hicho Upande wa Unguja zikitolewa na wanachama kwa mapenzi yao.
 
Viongozi wa juu takribani 50 ambao walikuwa wanachama wa Chama cha CUF wanataraji kuchukua kadi za ACT Wazalendo katika ofisi za Chama cha ACT Wazalendo Jijini Dar Es Salaam naibu Mkurugenzi  Maharagande amesema kwa upande wa Unguja na Pemba bendera zote cha Chama cha wananchi Cuf zimeteremshwa katika ofisi ambazo walikuwa wanamuunga mkono Maalim Seif ikiwa ni pamoja na kufuta nembo za CUF. ambapo naibu huyo amewata wanachama wote ambao walikuwa wanamuunga mkono maalim seif kujiunga na ACT ili kuendeleza mapambano na Demokrasia ya kweli.


 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.