Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali uamuzi wa Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam.
Add a commentRead more: KESI YA WAKILI SANGA DHIDI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI BADO NI KITENDAWILI.
Katibu wa itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema amesikitishwa na kitendo kilichofanywa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) cha kuongeza ubeti katika wimbo wa taifa ambao waliimba katika kikao cha kumchagua mwanachama atakayepeperusha kijiti cha kuwania urais kupitia chama hicho.
Add a commentRead more: “NASIKITISHWA NA MAMBO YASIYO YA BUSARA WANAYOFANYA CHADEMA”-Polepole
Tanzania yachukua Uenyekiti wa Nchi 79 za OACPS na kuelezea kipaumbele chake wakati wa Uenyekiti wake.
Add a commentBilionea Saniniu Laizer kutoka Mirerani mkoani Manyara, ambaye wiki kadhaa zilizopita mnamo mwezi Juni alipata Madini yenye uzito mkubwa zaidi kuwahi kutokea ambayo aliyauza kwa serikali na kuingia kwenye orodha ya mabilionea wapya wa Tanzania nyota yake imeendelea kung'aa.
Add a commentRead more: NYOTA YA BILIONEA LAIZER YAENDELA KUNG’AA, AIUZIA SERIKALI JIWE LINGINE.
Rais John Magufuli amesema Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa alipenda nyumbani kwao Masasi ndiyo maana alikataa kuzikwa katika eneo lililotengwa jijini Dodoma kwa ajili ya viongozi wa ngazi za juu za serikali.
Add a comment
Waziri wa uchukuzi nchini Kenya James Macharia amekanusha uwepo wa mzozo wowote wa kidiplomasia na Tanzania.
Read more: “HAKUNA NDEGE YA TZ ILIYOZUIWA KUTUA KENYA”-Waziri Macharia.
Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejikuta akitokwa machozi hadharani baada ya shindwa kujizuia wakati akielezea mazungumzo yake ya mwisho na Rais mstaafu awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI ATOKWA MACHOZI HADHARANI AKIMWELEZEA HAYATI MZEE MKAPA.
Mbele ya makada kadhaa na wabunge pamoja na maseneta kutoka chama tawala waliokutana katika mkutano wa chama mjini Abidjan Jumatano wiki hii kuomba akubali kuwania katika uchaguzi wa urais kwa muhula wa tatu, rais Alassane Ouattara amejizuia kutoa uamuzi wake.
Add a commentRead more: RAIS ALASSANE OUATTARA AWAWEKA MASHAKANI WAFUASI WAKE.
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete amesema, jana tarehe 23 Julai 2020 alikwenda kumtembelea Mzee Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa awamu ya tatu hospitali kabla ya mauti kumfika.
Add a commentRead more: “KIFO NI SIRI, JANA NILIONGEA NA MKAPA"- RAIS KIKWETE.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.