Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson anatarajiwa kurejea ofisini kesho Jumatatu baada ya kupona maambukizi ya virusi vya corona.
Add a commentRais wa Marekani Donald Trump ameweka saini kwenye sheria ya inayositisha visa kwa wahamiaji kuingia nchini humo kwa siku sitini.
Add a commentWaandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondoa amri ya kutokutoka nje maarufu kama 'lockdown'.
Add a commentRais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa atasaini amri ya kuzuia kwa muda aina zote za uhamiaji nchini Marekani ili kupambana na virusi vya corona.
Add a commentNdege ya abiria ya Ufaransa iliyokuwa imewasili nchini Congo Brazaville kuwarudisha raia wa Ufaransa ,kurejea nyumbani kufutia janga la Corona, imeshambuliwa kwa risasi na maafisa wa usalama wa uwanja wa ndege wa Pointe-Noire.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.