Star Tv

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson anatarajiwa kurejea ofisini kesho Jumatatu baada ya kupona maambukizi ya virusi vya corona.

Add a comment

Rais wa Marekani Donald Trump ameweka saini kwenye sheria ya inayositisha visa kwa wahamiaji kuingia nchini humo kwa siku sitini.

Add a comment

Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondoa amri ya kutokutoka nje maarufu kama 'lockdown'.

Add a comment

   Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa atasaini amri ya kuzuia kwa muda aina zote za uhamiaji nchini Marekani ili kupambana na virusi vya corona.

Add a comment

Ndege ya abiria ya Ufaransa iliyokuwa imewasili nchini Congo Brazaville kuwarudisha raia wa Ufaransa ,kurejea nyumbani kufutia janga la Corona,  imeshambuliwa kwa risasi na maafisa wa usalama wa uwanja wa ndege wa Pointe-Noire.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.