Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza muda wa kusitishwa kwa visa za bahati nasibu pamoja na zile za wafanyakazi wa kigeni hadi mwisho wa 2020.
Add a commentKampuni ya mtandao wa kijamii ya Facebook imeondoa mtandaoni matangazo ya kampeni ya rais Donald Trump kwa kile kinachoelezwa kuwa ametumia alama zilizokuwa za utawala wa kinazi wa Ujerumani.
Add a commentBaraza la mji wa Minneapolis laahidi kuvunja idara ya polisi kufuatia kifo cha George Floyd, Ambapo idadi kubwa ya maafisa wa baraza la mji huo wameiona hatua hiyo kama ni ya muhimu huku kukiwa na maandamano ya kitaifa yanayoendelea kutokana na kifo cha Mmarekani huyo mweusi kilichotokea mwezi uliopita.
Add a commentJeshi la Korea Kaskazini limesema kwamba liko tayari kuingia katika eneo lisiloruhusiwa shughuli za kijeshi linalogawanya nchi hiyo na Korea Kusini ambapo Korea Kaskazini imetishia kutuma jeshi eneo salama la mpakani.
Add a commentWaziri wa Jeshi wa Ufaransa Florence Parly ametangaza kifo cha kiongozi wa al-Qaeda katika ukanda wa Maghreb (Aqmi) Abdelmalek Droukdel aliyekuwa nchini Mali na "wasaidizi wake kadhaa", wakati wa operesheni ya kijeshi iliyofanyika Juni 3 nchini Mali.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.