Maafisa wa afya Nchini China leo Mei 04,2020 Jumatatu wamebaini kuwa watu watatu wana maambukizi ya virusi vya Corona katika upande wa China Bara.
Add a commentChuo cha Marekani kimethibitisha watu walioambukizwa virusi vya corona kufikia zaidi ya Milioni moja, ambapo idadi hiyo ni sawa na karibu ya theluthi moja ya idadi yote duniani.
Add a commentRais wa Brazil Jair Bolsonaro anaweza kukabiliwa na mashtaka kufuatia kuanzishwa kwa uchunguzi baada ya mahakama ya juu nchini humo kuagiza uchunguzi kuhusu madai ya "kuingilia" katika kesi za mahakama, madai yalitolewa na waziri wake wa zamani wa Sheria.
Add a commentAliyekuwa Waziri Mkuu wa Cote d'Ivoire na kiongozi wa zamani wa waasi Guillaume Soro amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela baada ya kupatikana na kosa la wizi pamoja na utakatishaji wa fedha.
Add a commentMaafisa wa afya wa jiji la Wuhan lililokuwa kitovu cha mlipuko wa janga la virusi vya corona wametangaza kutokuwa na mgonjwa yoyote aliyelazwa hospitalini kutokana na maradhi yanayosambazwa na virusi hivyo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.