Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan ametupilia mbali ombi la Waziri wake wa Mambo ya Ndani Süleyman Soylu kutaka kujiuzulu.
Add a commentIdadi ya waliokufa kwa virusi vya corona nchini Marekani kwa sasa ipo juu zaidi duniani baada ya kupita idadi ya nchini Italia.
Add a commentRais wa zamani wa Congo-Brazzaville, Jacques Joachim Yhombi Opango, ambaye alitawala nchi hiyo 1977 na 1979, amefariki dunia.
Add a commentOfisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ya Downing Streeet imeeleza kuwa Waziri huyo amelazwa hospitalini ili kufanyiwa vipimo vya virusi vya Corona, siku 10 baada ya kukutwa na virusi vya ugonjwa huo.
Add a commentWaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amedai kuwa serikali za Urusi na China zinajiepusha kutoa taarifa sahihi za virusi vya ugonjwa wa Corona.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.