Watu waliojihami kwa silaha wamewauwa wakulima 15 Kaskazini Magharibi mwa Jimbo la Katsina, katika kile, polisi wametaja ni kisa cha wizi wa mifugo.
Add a commentMadagascar imeuwekea mji wake mkuu Antananarivo amri ya kutotoka nje kufuatia ongezeko jipya la maambukizi ya virusi vya corona, miezi miwili baada ya masharti hayo kuondolewa.
Add a commentMkuu wa shirika hilo, Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema virusi vinaweza kuathiri watu wengi zaidi kwa siku za usoni ikiwa serikali hazikuanza kutekeleza sera sahihi.
Add a commentRais wa Ufaransa Emmanuel Macron amemteua Jean Castex, mwanasiasa asiyefahamika na raia wa nchi hiyo kuwa Waziri Mkuu mpya, kuchukua nafasi ya Edouard Philippe, aliyejiuzulu na Baraza lake la Mawaziri baada ya chama tawala kufanya vibaya katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Add a commentWanaume watatu wamekamatwa na polisi nchini Iran kwa kosa la kuwauza watoto wachanga Instagram.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.