Leo Japan inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 75 ya shambulizi la bomu la atomiki katika historia yake.
Add a commentWafanyakazi wa uokoaji nchini Lebanon wanasaka zaidi ya watu 100 waliotoweka kufuatia mlipuko mkubwa uliokumba eneo la bandari ya mji mkuu wa Beirut siku ya Jumanne.
Add a commentRais wa Marekani mara kadhaa amesikika akisema atalituma jeshi kukabiliana na waandamanaji katika miji mbalimbali nchini Marekani.
Add a commentRais Trump ametoa wito kuwa uchaguzi wa Urais utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu uahirishwe kwa madai ya kuongezeka kwa upigaji kura kwa njia ya posta kunaweza kusababisha udanganyifu na matokeo yasiyo sahihi.
Add a commentShirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kwamba "janga la Corona linaongezeka kwa kasi" na kukiri kwamba "ushahidi unaonyesha" kuwa kuna uwezekano virusi vya Corona kusambazwa kwa njia ya hewa.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.