Star Tv

Leo Japan inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 75 ya shambulizi la bomu la atomiki katika historia yake.

Add a comment

Wafanyakazi wa uokoaji nchini Lebanon wanasaka zaidi ya watu 100 waliotoweka kufuatia mlipuko mkubwa uliokumba eneo la bandari ya mji mkuu wa Beirut siku ya Jumanne.

Add a comment

Rais wa Marekani mara kadhaa amesikika akisema atalituma jeshi kukabiliana na waandamanaji katika miji mbalimbali nchini Marekani.

Add a comment

Rais Trump ametoa wito kuwa uchaguzi wa Urais utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu uahirishwe kwa madai ya kuongezeka kwa upigaji kura kwa njia ya posta kunaweza kusababisha udanganyifu na matokeo yasiyo sahihi.

Add a comment

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kwamba "janga la Corona linaongezeka kwa kasi" na kukiri kwamba "ushahidi unaonyesha" kuwa kuna uwezekano virusi vya Corona kusambazwa kwa njia ya hewa.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.