Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameahidi kusaidia kufanyika kwa mazungumzo nchini Belarus na kuachiliwa huru kwa wafungwa wa kisiasa.
Add a commentSaudi Arabia imetangaza kwamba mkutano wa nchi zilizostawi kiviwanda na kiuchumi (G20) utafanyika kwa njia ya video tarehe 21 na 22 Novemba mwaka huu.
Add a commentRais wa Iran Hassan Rouhani amesema Marekani imeshindwa katika juhudi zake za kuiwekea tena vikwazo nchi hiyo baada ya washirika wake wa Ulaya kusema hatua hiyo haiambatani na msingi wa kisheria.
Add a commentNdege ya usafiri ya jeshi la Ukraine iliyokuwa na abiria watu 28 ilianguka Ijumaa jioni kaskazini mashariki mwa Ukraine.
Add a commentIsraeli na Bahrain zimefikia makubaliano ya kufufua uhusiano wao Septemba 11,2020, mwezi mmoja baada ya makubaliano kati ya Falme za Kiarabu na nchi hiyo ya Kiyahudi.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.