Star Tv

Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania Tanzania (UNFPA na UN WOMEN) yamesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa pamoja chini ya ufadhili wa shirika la Maesndeleo la korea KOICA.

Mradi huo unatarajiwa kuanza kutekelezwa kuanzia mwezi huu Aprili 2020 hadi Machi 2023 ambao utagharimu Dola Milioni 5 za Marekani na unatarajia kuwanufaisha wanawake na wasichana 2350 wanaokumbwa na masuala ya ukatili wa kijinsia.


Imeelezwa kuwa kaya 6000 zenye wanawake na wanaume wilaya ya Ikungi, Singida nao watapata nafasi ya kunufaika na mradi huo, lakini pia mradi unao mpango wa kuwafikia wananchi wapatao 40000 ndani ya mkoa wa Singida.


Mashirika hayo mawili UN Women na UNFPA yametoa wito kwa jamii kutowaacha nyuma wanawake na wasichana katika suala la kuleta maendeleo kwa kuwapatia wanawake fursa na wamelenga kuleta usawa wa kijinsia kwa wanawake na wasichana hao hususani kwa mkoa wa Shinyanga na Singida kupitia mradi huo unaoanza kufanya kazi Aprili,2020 mpaka Machi, 2020.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.