Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) imetoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari na Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya Habari kutoka mikoa ya kanda ya ziwa. Mafuzno hayo yamegusia kuhusu Sheria zinazosimamia vyombo vya habari nchini Tanzania.
Add a commentRead more: MISA yatoa elimu ya Sheria kwa waandishi wa Habari, Mwanza
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameawata Maafisa Ustawi wa Jamii na Maafisa Maendeleo ya Jamii kote nchini kushirikiana kwa karibu na wadau kuibua changamoto za Jamii na kuzitafutia ufumbuzi.
Add a commentRead more: WAZIRI WA AFYA AMTEMBELEA MTOTO SHAMSA NA BIBI YAKE.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Ummy Mwalimu ameagiza viongozi wawili kukamatwa na kusimamishwa kazi kwa kwenda kinyume na maagizo ya serikali.
Add a commentRead more: VIONGOZI WAWILI WA KIJIJI WILAYANI SENGEREMA WASIMAMISHWA KAZI.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Innocent Bashungwa ameuagiza uongozi wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), kutengeneza mifumo ya kielektroniki itakayomuwezesha mtu yeyote anayehitaji huduma ya mkalimani wa lugha na hasa lugha ya Kiswahili, kuipata huduma hiyo kwa njia ya mtandao na kwa haraka zaidi.
Add a commentRead more: “BAKITA TENGENEZENI KANZI DATA YA WAKALIMANI”- Waziri Bashungwa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP. Simon Sirro, amewataka Wananchi na Watanzania kwa ujumla wasidanganywe na watu wachache au kikundi cha watu wanaowahamasisha kwa njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii kutokuchanjwa chanjo ya Uviko-19 (COVID-19).
Add a commentRead more: “MAISHA HAYAJI MARA MBILI, TUSIPOTOSHE KUHUSU CHANJO”-IGP. Simon Sirro.
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tozo za miamala ya simu si michango ya kirafiki ni sheria iliyopitishwa na Bunge baada ya kujadiliwa kwa kina akibainisha kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi.
Add a commentRead more: "TOZO SI MICHANGO YA KIRAFIKI, NI SHERIA ILIYOPITISHWA”-Dkt. Mwigulu.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepokea chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19, Ambayo ameizindua leo Julai 28, Katika Ikulu ya jijini Dar es Salaam.
Add a commentRead more: “MIMI NI MAMA, BIBI, MKE NA RAIS, SIWEZI KUJIWEKA KATIKA HATARI”-Rais Samia.
Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Dokta Doroth Gwajima ameviagiza vyombo vya Dola kumchukulia hatua askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Josephat gwajima kumhoji kuhusu madai anayoyatoa dhidi ya chanjo ya uviko 19.
Add a commentRead more: WAZIRI WA AFYA AAGIZA VYOMBO VYA DOLA KUMHOJI ASKOFU GWAJIMA.
Makamu wa Rais wa Tanzania amemuagiza Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt. Festo Dugange kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu Hamis Dambaya ili kupisha uchunguzi kutoka vyombo husika.
Add a commentRead more: DKT. MPANGO AAGIZA MKURUGENZI WA NANYUMBU KUSIMAMISHWA KAZI.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.