Star Tv

Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) imetoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari na Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya Habari kutoka mikoa ya kanda ya ziwa. Mafuzno hayo yamegusia  kuhusu Sheria zinazosimamia vyombo vya habari nchini Tanzania.

Add a comment

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameawata Maafisa Ustawi wa Jamii na Maafisa Maendeleo ya Jamii kote nchini kushirikiana kwa karibu na wadau kuibua changamoto za Jamii na kuzitafutia ufumbuzi.

Add a comment

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Ummy Mwalimu ameagiza viongozi wawili kukamatwa na kusimamishwa kazi kwa kwenda kinyume na maagizo ya serikali.

Add a comment

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Innocent Bashungwa ameuagiza uongozi wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), kutengeneza mifumo ya kielektroniki itakayomuwezesha mtu yeyote anayehitaji huduma ya mkalimani wa lugha na hasa lugha ya Kiswahili, kuipata huduma hiyo kwa njia ya mtandao na kwa haraka zaidi.

Add a comment

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP. Simon Sirro, amewataka Wananchi na Watanzania kwa ujumla wasidanganywe na watu wachache au kikundi cha watu wanaowahamasisha kwa njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii kutokuchanjwa chanjo ya Uviko-19 (COVID-19).

Add a comment

Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tozo za miamala ya simu si michango ya kirafiki ni sheria iliyopitishwa na Bunge baada ya kujadiliwa kwa kina akibainisha kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi.

Add a comment

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepokea chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19, Ambayo ameizindua leo Julai 28, Katika Ikulu ya jijini Dar es Salaam.

Add a comment

Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Dokta Doroth Gwajima ameviagiza vyombo vya Dola kumchukulia hatua askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Josephat gwajima kumhoji kuhusu madai anayoyatoa dhidi ya chanjo ya uviko 19.

Add a comment

Makamu wa Rais wa Tanzania amemuagiza Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt. Festo Dugange kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu Hamis Dambaya ili kupisha uchunguzi kutoka vyombo husika.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.