Star Tv

Rais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi kwa kuendelea kulisimamia Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) ili kukuza na kujenga uchumi ambao utanufaisha Watanzania wote.

Add a comment

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kuendelea kuwasisitiza waumini kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

Add a comment

Rais Samia Suluhu Hassani amewataka wanawake nchini kujenga utamaduni wa kujiamini kwakuwa ukombozi wa mwanamke unaanza na mwanamke mwenyewe hasa katika kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo katika jamii.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema sasa umefika wakati wa kuangalia kwa undani vikwazo vilivyosababisha vijana kutokuwa na jukwaa la pamoja ambapo amesema ni muhimu kuanzishwa kwa baraza la vijana litakalowezesha kuweka ajenda zao kitaifa.

Add a comment

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Busega mkaoni Simiyu, limeomba kuanza kusikilizwa kwa kesi za mahakama ya wilaya ndani ya wilaya hiyo ili kuwaondolea usumbufu wananchi wa kusafiri kufuata huduma hiyo mjini Bariadi.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka watanzania kuendelea kujitoa kulipa kodi ili kuwezesha upatikanaji fedha za uhakika ambazo zitakuwa ni chachu ya kutimiza miradi ya kimkakati.

Add a comment

Mfanyabiashara maarufu ndani ya Tanzania na nje ya nchi Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini akitokea nje ya nchi ambako alikaa muda mrefu.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua kiwanda cha kusafisha dhahabu jijini Mwanza kinachoitwa Mwanza Precious Metals Refinery (MPMR).

Add a comment

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Makatibu Tawala wa mikoa pamoja na wakuu wa taasisi wateule walioapishwa kwenda kufanya kazi kwa kuzingatia juhudi, maarifa, sheria na utu ili kutimiza matarajio ya wananchi kutoka kwa serikali.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.