Rais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi kwa kuendelea kulisimamia Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) ili kukuza na kujenga uchumi ambao utanufaisha Watanzania wote.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA KUSHUSHA NEEMA KWA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI.
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kuendelea kuwasisitiza waumini kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona.
Add a commentRead more: “CORONA IPO, WAHIMIZENI WAUMINI KUCHUKUA TAHADHARI ”-RAIS SAMIA
Rais Samia Suluhu Hassani amewataka wanawake nchini kujenga utamaduni wa kujiamini kwakuwa ukombozi wa mwanamke unaanza na mwanamke mwenyewe hasa katika kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo katika jamii.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA AHUSIA WANAWAKE KUJIAMINI, MAITI KUTOZUIWA KUZIKWA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema sasa umefika wakati wa kuangalia kwa undani vikwazo vilivyosababisha vijana kutokuwa na jukwaa la pamoja ambapo amesema ni muhimu kuanzishwa kwa baraza la vijana litakalowezesha kuweka ajenda zao kitaifa.
Add a commentRead more: RAIS AWAPA VIJANA NASAHA, ATANGAZA UWEPO MKEKA WA MA-DC.
Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Busega mkaoni Simiyu, limeomba kuanza kusikilizwa kwa kesi za mahakama ya wilaya ndani ya wilaya hiyo ili kuwaondolea usumbufu wananchi wa kusafiri kufuata huduma hiyo mjini Bariadi.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka watanzania kuendelea kujitoa kulipa kodi ili kuwezesha upatikanaji fedha za uhakika ambazo zitakuwa ni chachu ya kutimiza miradi ya kimkakati.
Add a commentRead more: WATANZANIA WATAKIWA KUENDELEA KULIPA KODI BILA KUCHOKA.
Mfanyabiashara maarufu ndani ya Tanzania na nje ya nchi Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini akitokea nje ya nchi ambako alikaa muda mrefu.
Add a commentRead more: TAKUKURU YAKIRI KUENDELEA KUMSHIKILIA YUSUF MANJI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua kiwanda cha kusafisha dhahabu jijini Mwanza kinachoitwa Mwanza Precious Metals Refinery (MPMR).
Add a commentRead more: RAIS SAMIA AZINDUA KIWANDA CHA KUSAFISHA DHAHABU NA JENGO LA BOT.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Makatibu Tawala wa mikoa pamoja na wakuu wa taasisi wateule walioapishwa kwenda kufanya kazi kwa kuzingatia juhudi, maarifa, sheria na utu ili kutimiza matarajio ya wananchi kutoka kwa serikali.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA ATOA ANGALIZO KWA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.