Star Tv

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango hii leo Septemba 7, 2021 amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa wa kwanza wa Afrika na Umoja wa Nchi za “Carribbean” (Africa – CARRICOM Summit) uliofanyika kwa njia ya mtandao.

Add a comment

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amewapongeza vijana wa Timu ya Taifa Stars na Watanzania wote kwa ushindi wa Magoli 3 - 2 dhidi ya Timu ya Madagascar kwenye mchezo uliochezwa leo Septemba 07, 2021 wa Michuano ya kufuzu kombe la Dunia 2021.

Add a comment

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amekutana na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania Luteni Jenerali Mathew Mkingule na kufanya mazungumzo juu ya kuboresha ushirikiano baina ya wizara yake na Jeshi kwenye masuala mbalimbali ya michezo ikiwemo wataalamu, miundombinu ya michezo na usafiri.

Add a comment

Jaji Elinaza Luvanda wa Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Makosa ya Rushwa na aliyekuwa anaisikiliza kesi ya Uhujumu Uchumi namba 16/2021 inayomkabili Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, Freeman Mbowe na wenzake watatu amejitoa kusikikiza kesi hiyo.

Add a comment

Kamati ya Haki, maadili na madaraka ya bunge ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemkuta na hatia Mchungaji na Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima ya kutoa taarifa za uongo kuhusu chanjo za corona.

Add a comment

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa amewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya kutekeleza maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasimu Majaliwa, kusimamia michezo katika ngazi zao ili kuwawezesha vijana kukuza vipaji vyao vya michezo kupitia sekta hiyo.

Add a comment

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 30, 2021 amefungua majengo ya Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida na Ofisi za Mkuu wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia Mkoa wa Singida, miradi ambayo imegharimu shilingi bilion 1.314

Add a comment

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu la kutaka kesi inayowakabili isisikilizwe na mahakama hiyo kwakuwa haina mamlaka ya kusikiliza kesi zenye mashtaka ya ugaidi.

Add a comment

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amefanya ziara katika Ofisi za Kituo cha Sheria na Haki za Binaadam nchini (LHRC), Ofisi za Foundation for Civil Society (FCS) pamoja na Legal Services Facility (LSF).

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.