Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametishia kumchukulia hatua za kijeshi mbabe wa kivita nchini Libya, Khalifa Haftar, wakati akizungumza na wabunge wa chama chake ikiwa ataendelea kuishambulia serikali ya mjini Tripoli inayotambuliwa kimataifa.
Add a commentRais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuweka vikwazo vipya vya kiuchumi dhidi ya Iran, ambapo amesema nchi hiyo haitolipiza kisasi kwa kufanya mashambulizi ya kijeshi.
Add a commentJeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC limerusha makombora ya balestiki na kupiga kambi za kijeshi za Marekani nchini Iraq, kama jibu la kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha SEPAH.
Add a commentWatu 176 wamepoteza maisha baada ya ndege ya abiria ya Ukraine kuanguka na kuteketea moto viungani mwa mji mkuu wa Iran, Tehran.
Add a commentVikosi vya polisi nchini Misri vimetawanywa kwa wingi katika eneo la kati la mji mkuu Cairo na kuzifunga njia zote za kuingia katika uwanja mashuhuri wa Tahriri, kufuatia wito wa maandamano dhidi ya rais Abdel Fattah al Sissi. Wito huo unafuatia tuhuma za rushwa ambazo rais Al Sissi anazikanusha.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.