Star Tv

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Busega mkaoni Simiyu, limeomba kuanza kusikilizwa kwa kesi za mahakama ya wilaya ndani ya wilaya hiyo ili kuwaondolea usumbufu wananchi wa kusafiri kufuata huduma hiyo mjini Bariadi.

Hatua hii ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega, imekuja kufuatia tangu kuanzishwa wilaya hiyo mwaka 2012 mpaka sasa kutokuwa na mahakama ya wilaya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Sundi Mniwe, anaweka msisitizo juu ya jambo hilo, huku Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Busega, Afisa Tarafa ya Busega, David Palangyo akielezea pia.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.