Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa falsafa katika sayansi kwenye ukumbi wa Chimwaga uliopo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Add a commentJamii imetakiwa kuacha kuwaita watu wenye ualbino majina ya kejeli ambayo yanayowavunjiwa utu na heshima yao.
Add a commentRead more: KUWALINDA WATU WENYE UALBINO: Jamii Yatakiwa kuwaheshimu.
Waziri wa maji Profesa Makame Mbarawa amesema atawafukuza wakurugenzi wa mamlaka za maji nchini watakaoshindwa kukusanya vyema mapato kwani mamlaka hizo zinaendelea kuwa tegemezi kwa seriakali kutokana na uzembe Add a commentRead more: Mamlaka za maji zitakazoshindwa kukusanya mapato:Waziri Mbarawa kufukuza wakurugenzi VITA DHIDI YA UKEKETAJI MKOA WA MANYARA-Elimu juu ya mila potofu yahitajika.Jamii za makabila yanayojihusisha na vitendo vya ukeketaji mkoani Manyara zimesema ili ziondokane na mila hiyo ni vema zikapewa elimu kwa njia mbalimbali itakayosaidia kubadili fikra kuwa, vitendo hivyo vinafaida kwa mwanamke. Add a commentRead more: VITA DHIDI YA UKEKETAJI MKOA WA MANYARA-Elimu juu ya mila potofu yahitajika. Wananchi waliopisha uchimbaji wa madini ya Bunyu Ruangwa walipwa fidia.Wananchi wa kata tatu za Matambalale ,Namikulo na Namileme wilayani Ruangwa mkoani Lindi wamelipwa fidia ya zaidi ya Shilingi Bilioni 4 ili kupisha mradi mkubwa wa uchimbaji madini aina ya Bunyu Add a commentRead more: Wananchi waliopisha uchimbaji wa madini ya Bunyu Ruangwa walipwa fidia. SERIKALI KUFUNGIA IBADA ZA “MFALME ZUMARIDI”: Umoja wa makanisa jijini mwanza waunga mkonoUmoja wa Makanisa Jijini Mwanza umeunga mkono Hatua ya serikali ya kupiga marufuku ibada zinazoendeshwa na Diana Bundala anayejiita Mfalme Zumaridi baada ya kubainika ibada hizo zinafanyika kinyume na sheria na taratibu za nchi.
Ikiwa bado ni hali ya kushangaza kwa wengi waliosikia na kushuhudia Serikali ikilifungia Kanisa la Mfalme Zumalidi Jijini Mwanza ikidawa ibada na imani za kanisa hilo hazithibiti matakwa ya ukristo. Add a commentUjenzi wa barabara ya Bububu-Mahonda-Dkt Shein aridhishwa na mwenendoRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein ameeleza kuridhishwa na maendeleo ya kasi i ya ujenzi wa barabara ya Bububu-Mahonda hadi Mkokotoni. Add a commentRead more: Ujenzi wa barabara ya Bububu-Mahonda-Dkt Shein aridhishwa na mwenendo MIAKA 20 YA EAC: Nchi wanachama bado zinakabiliwa na umasikiniWakati Jumuiya ya Afrika mashariki inaadhimisha miaka ishirini tangu kuanzishwa kwake. inaelezwa nusu ya wakazi wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo bado ni maskini wanaoishi kwa kutegemea misaada kutoka nje . Add a commentRead more: MIAKA 20 YA EAC: Nchi wanachama bado zinakabiliwa na umasikini Mkoa wa Simiyu umezindua mkakakati wa kuboresha taaluma 2020 .Mkoa wa Simiyu umezindua mkakakati wa kuboresha taaluma kwa mwaka 2020 ili kuinua taaluma katika maeneo yote. Add a commentRead more: Mkoa wa Simiyu umezindua mkakakati wa kuboresha taaluma 2020 . Latest News
Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Other Articles
Social MediaCopyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved. |