Star Tv

Mkufunzi wa kibinafsi amefariki dunia baada ya kunywa kafeini ambayo ni sawa na vikombe 200 vya kahawa.

Add a comment

Mtu mmoja amefunguliwa mashtaka ya mauaji baada ya kudaiwa kuukata mguu wa mtu mwingine huko kaskazini-mashariki mwa Australia.

Add a comment

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alikataa kufanyiwa vipimo vya Covid nchini Urusi kabla ya mkutano wake na Rais Vladimir Putin wa Urusi, Kremlin imethibitisha.

Add a comment

Waziri mkuu wa Libya Abdulhamid al-Dbeibah, amesema leo kuwa anazingatia mpango wa kusuluhisha mzozo wa kisiasa nchini humo na huenda akatangaza mpango wa serikali katika siku zijazo.

Add a comment

Mashambulizi ya mtandaoni ya Korea Kaskazini yameiba mamilioni ya dola za sarafu ya digitali ili kufadhili programu za makombora nchini humo, ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyoarifu vyombo vya habari inasema.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.