Mkufunzi wa kibinafsi amefariki dunia baada ya kunywa kafeini ambayo ni sawa na vikombe 200 vya kahawa.
Add a commentMtu mmoja amefunguliwa mashtaka ya mauaji baada ya kudaiwa kuukata mguu wa mtu mwingine huko kaskazini-mashariki mwa Australia.
Add a commentRais wa Ufaransa Emmanuel Macron alikataa kufanyiwa vipimo vya Covid nchini Urusi kabla ya mkutano wake na Rais Vladimir Putin wa Urusi, Kremlin imethibitisha.
Add a commentWaziri mkuu wa Libya Abdulhamid al-Dbeibah, amesema leo kuwa anazingatia mpango wa kusuluhisha mzozo wa kisiasa nchini humo na huenda akatangaza mpango wa serikali katika siku zijazo.
Add a commentMashambulizi ya mtandaoni ya Korea Kaskazini yameiba mamilioni ya dola za sarafu ya digitali ili kufadhili programu za makombora nchini humo, ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyoarifu vyombo vya habari inasema.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.