Star Tv

Mahakama nchini Ukraine imempatia kifungo cha maisha jela kamanda wa kitengo kimoja cha Urusi kwa kumuua raia, katika uamuzi wa kesi ya kwanza dhidi ya uhalifu wa kivita nchini humo.

Add a comment

Kanali wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Tehran.

Add a comment
Mazoezi makubwa zaidi katika historia ya Baltics ya Muungano wa kijeshi wa NATO yanatarajiwa kuanza baadaye hii leo. Add a comment

Ukraine imethibitisha kwamba mamia ya wapiganaji wake waliokuwa wamekwama kwa zaidi ya miezi miwili katika mji wa Mauripol wameokolewa.

Add a comment

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa wanafanya juhudi kubwa kuhakikisha wanawaondoa wanajeshi wao waliojeruhiwa katika jimbo la Mariupol.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.