Mahakama nchini Ukraine imempatia kifungo cha maisha jela kamanda wa kitengo kimoja cha Urusi kwa kumuua raia, katika uamuzi wa kesi ya kwanza dhidi ya uhalifu wa kivita nchini humo.
Add a commentKanali wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Tehran.
Add a commentUkraine imethibitisha kwamba mamia ya wapiganaji wake waliokuwa wamekwama kwa zaidi ya miezi miwili katika mji wa Mauripol wameokolewa.
Add a commentRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa wanafanya juhudi kubwa kuhakikisha wanawaondoa wanajeshi wao waliojeruhiwa katika jimbo la Mariupol.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.