Star Tv

Waziri mkuu wa Libya Abdulhamid al-Dbeibah, amesema leo kuwa anazingatia mpango wa kusuluhisha mzozo wa kisiasa nchini humo na huenda akatangaza mpango wa serikali katika siku zijazo.

Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Al Ahrar, Dhbeiba amesema lengo la mpango wake litakuwa kuandika rasimu ya sheria ya uchaguzi kwa ajili ya bunge la nchi hiyo.

Pia ametangaza utayari wake kujiondoa katika kinyang'anyiro cha urais ili kuwezesha kufanikiwa kwa mpango huo.

Awali al-Dbeibah, alisema hatua ya bunge kuichagua serikali mpya ni jaribio jingine la kuingia Tripoli kwa nguvu, huku Umoja wa Mataifa ukisema utaendelea kumuunga mkono, licha ya bunge kumchagua Fathi Bashagha kuchukua nafasi yake.

#ChanzoDW

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.