Star Tv

Waziri wa maji Profesa Makame Mbarawa amesema atawafukuza wakurugenzi wa mamlaka za maji  nchini watakaoshindwa kukusanya vyema  mapato kwani mamlaka hizo zinaendelea kuwa tegemezi kwa seriakali kutokana na uzembe

Ikiwa ni siku ya kwanza katika ziara ya kikazi wilayani Musoma mkoani Mara waziri wa maji Professa Makame Mbarawa ametoa kauli hiyo huku akiwataka wakurugenzi wa mamalaka ya maji nchini walioshindwa kukusanya vvema mapato kujitathuimini kama bado wanafaa .

Akikagua mradi wa maji taka ambao unajengwa mjini Musoma waziri Mbarawa ameridhika na ujenzi wake huku akimtaka mkandarasi kuongeza kasi ili kukamilisha mradi huo.

Serikali wilayani Musoma imemuomba Waziri wa maji kumtaka mkandarasi huyo kuhakikisha anaweka maji katika vyoo anavyo jingenga ili kupunguza ugonjwa wakichocho.

Waziri wa maji Profesa Makame Mbarawa yupo katika ziara ya kikazi mkoani Mara kukagua na kuangalia shughuli zinazotekelezwa na watendaji wa wizara hiyo.

                                                                                                    Mwisho.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.