Star Tv
Baadhi ya wakulima wa  Pamba  Wilayani Sengerema mkoani Mwanza  , wamesema   kukosena  kwa mnunuzi wa zao la Pamba  tangu  msimu  ulipofunguliwa     umesababisha maisha kuwa ghalikutokana na ukosefu wa fedha.   Wananchi wa kijiji cha Lugongo  kata ya Kasenyi  wamseama mpaka sasa hawajapata ufumbuzi juu ya malipo  yao  ya  mauzo ya  Pamba licha ya viongozi  wanauhuska  katika malipo  wakitoa ahadi kila kukicha

Kwa upande wake  Katibu  wa Chama  cha  wakulima  wa pamba  katika kijiji cha  lugongo  Alex  Mahilane  amesema amekusanya    tani  68  za pamba  na zimeifadhiwa  kwenye ghala  zikiwa na thamani ya  shilingi  Milion  81.6  ambapo  kati ya fedha hizo  hakuna pesa ambayo  imeshalipwa  kwa wauzaji  wa zao hilo.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema  Emmanuel Kipole   akitolea ufafanuzi suala hilo amesema kuwa wilaya ya  Sengerema  mpaka sasa haijapata mnunuzi  ambapo amewataka wakulima kuwa na subra wakati serikali ikiendelea kulitafutia ufumbuzi suala hilo.
 
 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.