Star Tv

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi - Profesa Joyce Ndalichako amezungumza na wasomi wa chuo kikuu cha Iringa-awali kikitambulika kama "chuo kikuu cha Tumaini" Waziri Ndalichako anasema kundi la wasomi kamwe halipaswi kulalamikia changamoto ya ajira, bali linatakiwa kuwa na suruhu kwa kuzalisha ajira katika jamii.

Vijana wametakiwa kuachana na fikra za kutaka kuajiriwa, bali wawe wazalishaji wa ajira katika jamii, ili kwenda sambamba na mbio za serikali ya awamu ya tano inayokimbizana kutaka uchumi wa viwanda, unaotajwa kumaliza tatizo la ajira. Mkurugenzi wa kitengo cha ujasiriamali na ubunifu katika chuo kikuu cha Iringa- Deo Sabokwigina, anasema kuanzishwa kwa masomo ya ujasiriamali kwa vitendo katika chuo kikuu cha Iringa kumesaidia kuongeza soko la ajira.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.