Star Tv

Changamoto ya mimba za utotoni umesababisha zaidi ya wanafunzi 1000 wamekatisha masomo mkoani Mwanza katika kipindi cha miaka mitatu kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Jonathan Shanna amesema kuwa takwimu hizo ni zile zilizotolewa taarifa kwenye madawati ya jinsia ya polisi.

Kamanda wa polisi anasema kuwa takwimu hizo zinaashiria tatizo la mimba linaendelea kuathiri jamii hususan watoto wa kike. Mkurugenzi wa shirika la Kivulini Yasini Ally amesema kuwa changamoto kubwa ambayo inaikumba jamii kwa hivi sasa ipo kwenye malezi ya watoto na kusababisha baadhi ya watoto kujitumbukiza kwenye mahusiano yasiyo salama.
Baadhi ya washiriki wa kikao cha kuweka mikakati wa namna ya kuboresha utoaji wa huduma kwa waathirika wa vitendo vya ukatili mkoani Mwanza wametoa rai kwa wadau kushirikiana
Wadau kikao hicho kimewashirikisha waandishi wa habari,madaktari, polisi na maafisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya mbalimbali za mkoa wa mwanza.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.