Star Tv

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 29, 2021 ametembelea kiwanda cha kuchenjua madini cha ‘Giant Elution’ kilichopo Chunya Mkoani Mbeya.

Akizungumza baada ya kukagua uwekezaji katika kiwanda hicho ambacho kinamilikiwa na Mtanzania, Majaliwa ametoa wito kwa watanzania waendelee kuwekeza katika sekta ya madini.

Waziri Mkuu amesema kuwa sekta ya madini imeendelea kukua na kuiwezesha nchi kupata mapato.

Pia Majaliwa amewaagiza Maafisa madini wa mikoa wawatembelee wachimbaji wadogo ili kuwapa elimu ya namna bora ya uchimbaji pamoja na kuwatafutia fursa za mikopo ili waweze kukuza biashara zao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.