Star Tv

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amefanya ziara katika Ofisi za Kituo cha Sheria na Haki za Binaadam nchini (LHRC), Ofisi za Foundation for Civil Society (FCS) pamoja na Legal Services Facility (LSF).

Zitto anafanya ziara hiyo kwa lengo la ziara husika ni Uongozi Mpya wa TCD kujitambulisha kwa wakuu wa taasisi hizo pamoja na kuona namna nzuri ya TCD kushirikiana na LHRC, FCS pamoja na LSF katika jitihada za kuwezesha TCD kufanya kazi vizuri kufufua demokrasia na kutoa nafasi ya mijadala kati ya vyama vya siasa, serikali na Asasi za kiraia.

Katika ziara hiyo ambayo Katika ziara hiyo Mwenyekiti wa TCD aliambatana na Afisa wa TCD, ndugu Lucy Agostino ilianza siku ya Agosti 28, Jumamosi kwa kutembelea chama mwanzilishi wa TCD, Chadema, na anatarajia kutembelea na kufanya mazungumzo na vyama vingine wanachama wa TCD ambao ni NCCR Mageuzi, CUF na CCM.

Aidha, Zitto anatarajia pia kutembelea na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Taasisi za Dini, Mabalozi, Msajili wa Vyama vya Siasa pamoja na wadau wengine wa demokrasia siku zijazo.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.