Star Tv

Mahakama ya hakimu Mkazi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro imeamuru kufukuliwa kwa Kaburi palipozikwa mwili wa mtu mmoja.......

Mahakama ya hakimu Mkazi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro imeamuru kufukuliwa kwa Kaburi palipozikwa mwili wa mtu mmoja aliyekutwa akiwa amefariki dunia katika Mto Ghona ulio Karibu na shule ya sekondar Scolastica  ili ufanyiwe vipimo vya uchunguzi ili kubaini kama ni mwili wa Mwanafunzi Humphrey Makundi  aliyekuwa anasoma shule ya sekondari Scolastica baada ya kutoweka shuleni hapo tangu Novemba 07 mwaka huu bila taarifa zozote.Mwili huo ulizikwa na Manispaa ya Moshi Novemba 12 mwaka huu baada ya kile kilichodaiwa kukosekana kwa ndugu na jamaa wa kutambua mwili huo ambayo ulihifadhiwa katika hospitality ya Mkoa ya Mawenzi iliyopo mjini moshi
 Zoezi hili linafanyika muda huu katika makaburi ya Karanga yaliyopo katika Manispaa ya Moshi.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.