Mahakama Kuu imemhukumu Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' kwenda jela.
Mwigizaji Elizabeth Michael "Lulu" amehukumiwa kifungo cha Miaka Miwili Jela baada ya kukutwa na hatia kwenye kesi ya kumuua bila kukusudia Mwigizaji Steven Kanumba
Mahakama Kuu Tanzania ilikua inasubiriwa kutoa hukumu ya kesi ya kifo cha Mwigizaji Steven Kanumba ambayo ilikua inamkabili Mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” ambae alikua mpenzi wake.
Mahakama kuu ya Tanzania imemuhukumu Mwigizaji huyo kwenda jela miaka miwili kufuatia kesi iliyokua ikimkabili ya kumuua bila kukusudia Mwigizaji Steven Kanumba.