Star Tv

Bili ya umeme ya zaidi ya dola bilioni 284 ilimshangaza mwanamke mmoja katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani hadi alipogundua kuwa bili hiyo ilikuwa na makosa.

Mary Horomanski kutoka Erie, alisema kuwa bili hiyo ilionyesha kuwa alihitajika kulipa pesa hizo zote ifikapo Novemba mwaka 2018.

Kampuni ya umeme baadaye ilisema kuwa bili sahihi ilikuwa dola 284.46.

Msemaji wa kampuni alisema kuwa hawakufahamu jinsi hitilafu hiyo ilitokea ikionyesha kuwa Bi Horomanski alihitajika kulipa $284,460,000,000 huku akitakiwa kulipa sehemu ya kwanza ya dola 28,176 mwisho wa mwezi huu.

"Sijawi kuona bili ya mabilioni ya pesa," Mark Durbin aliliambia gazeti la Erie Times.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.