Star Tv

Ukraine imesema inajiandaa kwa vita vya kemikali vinavyoweza kutokea kwa usaidizi wa taifa la Marekani.

Imeripotiwa kuwa Marekani imekuwa ikituma vifaa vya kinga (PPE) kwa Ukraine kwa ombi la nchi hiyo ili kujiandaa kwa shambulio lolote la silaha za kemikali wakati wa vita.

Msemaji wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Rais Joe Biden amethibitisha kwamba "vifaa vya kuokoa maisha" vimetumwa.

Vifaa hivyo vya PPE vinadhaniwa kujumuisha barakoa za gesi, suti za hazmat na vifaa vingine.
Moscow na imekuwa ikirushiana tuhuma katika wiki za hivi karibuni kwamba silaha za kemikali na silaha za kibaiolojia zinaweza kutumwa.

Aidha, Maafisa wa Marekani wanahofia kuwa Urusi inaweza kuwa inapanga operesheni ya uongo ya bendera kuhusu matumizi ya silaha hizo.

#ChanzoBBC

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.