Star Tv

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la afya duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kwamba corona inaweza kuisha mwishoni mwa mwaka huu iwapo nchi zote duniani zitachukua hatua kabambe za kukabiliana na maambukizi.

Kiongozi huyo wa WHO alilkuwa akizungumza katika kikao cha 150 cha shirika hilo la afya duniani cha kamati kuu kilichofanyika mjini Geneva.

Akizungumza katika mkutano huo, Tedros amesema kuwa WHO inashirikiana katika ngazi za kikanda, kitaifa na kimataifa katika juhudi za kuutokomeza ugonjwa wa Covid.

Aidha amesema kwamba shirika hilo limekuwa likitoa raslimali, mikakati, na ujuzi wa kiufundi unaohitajika katika kudhibiti corona kwa nchi husika.

#ChanzoBBC

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.