Star Tv

Baraza la kijeshi linaloongoza nchini Sudan limesema leo kwamba baraza hilo limeapa kwamba serikali mpya itakuwa ya kiraia.

Mkuu wa kamati ya kisiasa ya baraza la mpito la jeshi hilo, Omar Zeinalabdin, amesema baraza hilo halitalazimisha kitu chochote kwa wananchi, na linataka kutengeneza hali ya mjadala wa amani. Amesema katika mkutano na waandishi habari leo kwamba baraza hilo lina mpango wa kuanza mjadala na makundi ya kisiasa baadaye leo. Baraza la mpito la kijeshi linatarajia kipindi cha mpito kilichotangzwa jana kuwa kwa kipindi cha miaka miwili, na kusema kipindi hicho kinaweza kufupishwa hadi mwezi mmoja iwapo kitaendeshwa bila mparaganyiko.

 

CHANZO: IDHAA YA KISWAHILI YA DW

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.