Star Tv

Wizara ya Afya nchini Kenya imetoa taarifa ya nchi hiyo kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambapo mpaka sasa watu 13 wakiwemo watoto wenye umri chini ya miaka 10 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa huo.

Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema visa 550 vya ugonjwa huo vimeripotiwa mpaka sasa na tayari wataalam wa afya wamekwishaanza kuudhibiti ugonjwa huo.

Chanzo cha ugonjwa kinatajwa kuwa ni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali.

Waziri Mutahi amesema anaamini inawezekana ugonjwa huo ukadhibitiwa ikizingatiwa kwamba umeripotiwa katika maeneo mawili pekee ndani ya nchi hiyo.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.